Huyu ni Vladimir Putin akipiga push ups
Huyu ni Barack Obama akipiga push ups
Huyu ni John Magufuli akipiga push ups

Huyu ni Edward Lowassa akisaidiwa kupanda ngazi za jukwaa

Picha hizi ni ushaidi tosha kuwa Lowassa ni dhaifu na hana sifa za Urais ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu.
No comments:
Post a Comment