Monday, September 28, 2015

IRINGA WASEMA BAI BAI LOWASSA NA UKAWA

1. Magufuli aahidi kujenga barabara ya uwanja wa ndege wa Iringa na kuimarisha mifuko ya uwezeshaji ya wanawake na vijana.

2. Magufuli apania kupunguza ushuru kwa wananchi wa kawaida ili kukuza uchumi wa mtu binafsi kasha uchumi wan chi nzima.
















Wakazi wa Iringa Mjini wakimsikiliza Mheshimiwa Magufuli katika Mtuno wa kutafuta kura za Urais. 

MAGUFULI HAKAMATIKI : KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA INAONYESHA MAGUFULI ANAZIDI KUNG'ARA KILA KONA YA NCHI YETU NI BAADA YA WATU KUPIMA SERA ZAKE NA ZA WENGINE NA KUGUNDUA KUWA SERA ZAKE ZINATEKEREZEKA NA ZA WENGINE HAZITEKEREZEKI BALI WANAZITUMIA KUWALAGHAI WANANCHI ILI WAINGIE IKULU TU : TUMESHTUKA HAPA NI KAZI TU

No comments:

Post a Comment