Hakuna ubishi wala nini, picha zinajieleza vizuri sana kuwa Watanzania sasa wanakiri kwa kidomo yao kuwa, Mh John Pombe Magufuli ndie kiboko ya Mafisadi wa Tanzania. UKAWA sasa wamekwisha habari yao baada ya kumkumbatia Fisadi na kukaa mbali na hili neno "fisadi". Mwisho wao ni tarehe 25 October. 

Posted by Mr Chin