Wednesday, September 30, 2015

MSIMAMO LIGI KUU TANZANIA BARA || 2015/16

Mechi 5, points 15, magoli 13, kufungwa 1 tu. Safari hii naona wale "MAJIRANI WAPIGA KELELE" wamekaa kimya kabisa, ni ishara kwamba wameukubali mziki wa Jangwani, husikii wakisema Tigo Pesa, M-Pesa wala CRBD Bank.

No comments:

Post a Comment