Monday, September 28, 2015

MAHUJAJI TOKA TANZANIA WALIOKUFA MAKKA WAFIKIA 6 WENGINE 50 HAWAJULIKANI WALIPO

Bismillahi rrahmaani rrahiim
Kila sifa njema zinamstahiki Mwenye ezi Mungu Muumba wa viumbe vyote.
Na rehma na amani zimshukie Bwana wetu Muhammad S.A.W, yeye na aali zake wote na maswahaba wake watukufu.
Ammaa baad.
Mwenye ezi Mungu anasema: Sema Muhammad, hayatufiki illa aliyotuandikia Mwenye ezi Mungu, yeye ndie mtawala wa mambo yetu na waumini wamtegemee yeye Mwenye ezi Mungu. Qur,ani Surat Tawba aya 51.

No comments:

Post a Comment