Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mtoto wa Baba wa taifa ambaye pia ni Mbunge wa Afrika Mashariki Makongoro Nyerere mara baada ya kuwasili mkoani Mara.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda mjini Mhe. Stephen Wasira wakati wa mapokezi mkoani Mara.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akisaini vitabu vya wageni mara baada ya kuwasili kwenye eneo la mkutano wa kampeni za CCM Butiama, kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na mgombea ubunge wa jimbo la Butiama Nimrod Mkono.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipokea kifimbo na Chief Japhet Wanzagi kwaniaba ya Wazee wa Butiama.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiteta jambo na mgombea ubunge wa Jimbo la Butiama Mhe. Nimrod Mkono.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Shyrose Bhanji akikimbia kuelekea jukwaani kuwasalimia wakazi wa Butiama
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Shyrose Bhanji akihutubia wakazi wa Butiama kwenye mkutano wa kumnadi mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Umati wa wakazi wa Butiama wakimsikiliza Mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Butiama kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
No comments:
Post a Comment