News reports and headlines from Africa updated with breaking news.
Friday, September 4, 2015
Mh. Magufuli ailipua Mtwara baada ya UKAWA kuonja Joto ya Jiwe Mkoani Mtwara
Mgombea wa uraisi kwa tiketi ya chama chama Mapinduzi CCM, Ndg. John Pombe Magufuli amefanya mwendelezo wa kampeni zake katika mkoa wa mtwara ambapo maelfu ya wananchi na wapenzi wa chama hicho wamejitokeza kumsikiliza akinadi sera zake
No comments:
Post a Comment