Friday, October 30, 2015

MAGUFULI AKABIDHIWA HATI YA URAIS NA KUWASHUKURU WAKAZI WA DAR

 Rais mteule Dkt John Pombe Magufuli akiwapungia wakazi wa Dar es Salaam alipokuwa akitoka katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Picha na zote na Humphrey Shao
 Msafara wa Rais Mteule John Pombe Magufuli kuelkea Lumumba katika ofisi ndogo za CCM Mkoa  wa Dar es Salaam
 Rais Jakaya Kikwete akisalaimiana na Rais Mteule John Pombe Magufuli
 Rais Kikwete akihutubia mamia ya wakazi wa jijini Dar es Salaam waliofurika kwa Magufuli
 wanachama wa CCM wakiwa wamekaa barabarani
 Rais Mteule John Pombe Magufuli akihutubia wana CCM katika ofisi ndogo za mkoa wa Dar es Salaam
 Spika wa Bunge Anna Makinda akiwa na Seif Khatibu wakifurahia jambo
 Rais Mteule Dkt JohnMagufuli
 Dkt John Magufuli akiwa na Makamu mteule Samia Suluhu wakionyesha cheti ch
 Asha Baraka
 Mwigulu Nchemba akiteta na Waziri mkuu
 wanachama wakiwa na mabango barabarani

No comments:

Post a Comment