Thursday, November 19, 2015

MHE.MAJALIWA KASSIM MAJALIWA APATA ZAIDI YA ASILIMIA 73.5%

Idadi ya wabunge ni 394 waliosajiliwa ni 369 na waliohudhuria Bunge ni 351


  •  Apigiwa kura 258
  • Zilizoharibika ni kura 2
  • Kura za hapana 91




Waziri Mkuu Mteule Majaliwa Kassim Majaliwa apata asilimia 73.5 ya kura zilizopigwa na wapunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment