Monday, November 30, 2015

BILIONI 4 ZA SHEREHE ZA UHURU, ZIJENGE BARABARA YA MOROCCO HADI MWENGE - RAIS MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameamuru fedha kiasi cha shilingi bilioni 4 zilizopaswa kutumika kugharamia shamra shamra za siku ya Uhuru ambazo zingefanyika tarehe 09 Desemba 2015, zitumike kufanya upanuzi wa barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 4.3 kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami.


No comments:

Post a Comment