Thursday, October 1, 2015

Magufuli sasa ni kuapishwa tu













Acha ubishi na kutokwa povu, wengi zaidi washaamua. Wanamuamina kwa sababu ya historia yake wake utumishi serikalini katika wizara mbalimbali ambapo kote alikopita anasifika kwa UCHAPAKAZI, UADILIFU, UFUATILIAJI,UTEKELEZAJI NA MWENYE MSIMAMO katika usimamizi na utekelezaji wa sheria. Huyu ndiye Dr. MAGUFULI bwanaaaaaa.......
Nakusihi tuungane na walio wengi kumpa kura nyingi za kishindo akatutumikie....

No comments:

Post a Comment