Thursday, October 8, 2015

Dr Slaa asema: MAGUFULI NAMPA ASILIMIA 90 juu ya wagombea wote



Hakuna wa kubisha wala nini, Mh. Magufuli hana mpinzani. Naam, Dr. Slaa amewapasua tena UKAWA kwa kumpa Mh. Magufuli asilimia 90 juu ya wagombea wote kama mgombea mwenye sifa za kuwa kiongozi wa nchi.

Na Mr. Chin

No comments:

Post a Comment