Mhe. John Magufuli akiwa katika Kampeni Mbeya akiungwa mkono na viongozi wengine pamoja na Wanachama.

Akihutubia Malefu wa Wananchi wa Mbeya

Mheshimiwa Magufuli akimsikiliza Mkazi wa Mbeya aliye kwenda kumuoa

Mheshimia Magufuli akipokea Baraka kutoka Masista Kanisa la Katoliki Mbeya

Wakazi wa Mbeya walivyo furika kumuoa Mheshimiwa Magufuli

Mheshimiwa Magufuli akisalimia na watu mbali bali

Mheshimiwa Magufuli akisalimia na watu mbali bali

Haya ni Zaidi ya Mafuriko.

Mbeya Nzima Yazizima baada ya Magufuli kutia Mguu wake.

HUYU NDIE RAIS WETU MTARAJIWA MHESHIMIWA MAGUFULI
No comments:
Post a Comment