Tuesday, October 20, 2015

Wakina Mama na Dada wengi wako CCM na ndio wapiga kura





Wakinamama wameamua kuipa kura CCM kwasababu inajali maslahi yao na ina viongozi wa ngazi za juu wa kike, hii ni tofauti na CHADEMA ambayo haina kiongozi wa ngazi za juu ambaye ni Mwanamke.

WAKINAMAMA SASA KUIPA KURA ZAO CCM

No comments:

Post a Comment