Naa....kimsingi wengi unaowaona mikutano ya CCM ndo haohao wanakua mikutano ya CHADEMA sio kwamba ni makundi tofauti.
_______
Pichani:
Nawakumbushia tangu upinzani uanze nchini ni Mrema pekee amewahi kutoa upinzani kuliko wote waliotangulia na mbwembwe zote za umati mkubwa

MCHAGUE MAGUFULI
No comments:
Post a Comment