Tuesday, October 20, 2015

Tabia za ISIS zaonekana kwa UKAWA, sasa wabeba VISU na MAPANGA kama ISIS: CHAGUA AMANI, CHAGUA CCM, CHAGUA MAGUFULI

Huyu kijana hapa chini aliye beba Panga ni mwanachama wa CHADEMA akifuata maamrisho ya viongozi wake wa UAKWA ya kuvunja sheria na amani ya Tanzania.



Huyu hapa chini ni ISIS akiwauwa raia wasio na hatia



Huyu hapa ni CHADEMA amekamatwa na Mapanga kwa ajili ya kulinda kura wakati wa Uchaguzi



Huyu ni ISIS akiuwa raia wasio na hatia


Ndugu Mtanzania, zinduka na achana na Chama kinacho chochea vurugu na uvunjani wa sheria na amani Tanzania. Ukisha piga kura yako tafadhali rudi nyumbani na usifuate maamrisho ya viongozi wako wa CHADEMA.

CHAGUA AMANI, CHAGUA CCM, CHAGUA MAGUFULI



No comments:

Post a Comment