

Mh. Magufuli bado yupo Mwanza, na leo hii anaendelea kuzoa kura za wakazi wa Mwanza. Hapa ni Igoma akiwa amezuiliwa na wakazi wa hapo ambao walitaka kumsikia Rais wao wa Tano.
Mh. Magufuli tokea jana amekuwa akiizika UKAWA na kufungisha ofisi zao za Mwanza baada ya kufanya Mkutano wa Kihistoria ambao haujawai tokea barani Afrika.
Na Mr. Chin
No comments:
Post a Comment